na tetesi zilizokuwepo kati ya watu hawa wawili ni kuhusu ndoa yao iliyokuwa ifanyike mwenzi huu wa pili lakini hilo halikuwezekana baada ya goldie kufariki dunia
na mtu aliyedai kuwa yeye ndo mume wa goldie amesema''Mapenzi kati ya Goldie na Prezzo yalikuwa kwa ajili ya TV SHOW''
NA HIZI NDIZO PICHA ZA HARUSI YA GOLDIE HARVEY NA MR.HARVEY NA WAKIWA PAMOJA KATIKA MAENEO TOFAUTI



HAPA GOLDIE AKIWA NA PREZZO

No comments:
Post a Comment