msiba wake huo umefanyika kwa siri na baadhi ya watu walialikwa kwa mazishi hayo
na hizi ndo picha za mazishi ya GOLDIE HARVEY!!
PICHA ZA MAZISHI YA GOLDIE HARVEY
.
Andrew Harvey mume wa Goldie.
.
Dada wa Goldie akiwa na marafiki
.
.
Wa
pili kutoka kushoto ni mtangazaji wa Channel O Denrele Edun ambae
alikua rafiki mkubwa wa Goldie na ndioGoldie alifia mikononi mwake akiwa
amembeba, huu msiba ulihudhuriwa na watu wachache walioalikwa tu huko
Ikoyi Lagos Nigeria.
.
.
.
.
.
.
picture with millardayo.com/
No comments:
Post a Comment