Tuesday, May 07, 2013

PICHA YA FARAGHA YA SALAMA JABIR YASAMBAA MTANDAONI

.
Mtu ambaye hajaandika jina lake amesambaza picha ambayo inamuonesha inamuonesha mtu ambaye amedaiwa kuwa ni SALAMA JABIR ambaye ni mtangazaji wa kituo cha tv cha EATV.
Ambapo mtu huyo amedai picha hii ameitoa kusikojulikana na amedai kuwa ana wasiwasi na mtu aliyekuwa pembeni ya salama kama picha inavyoonesha hapo chini kuwa ni mwanamke kutokana na kamba zinazoonekana eneo la mabegani karibu na shingoni na kudai kuwa ni za sidiria


http://1.bp.blogspot.com/-NXFWgXqiGAA/UYipJzfpajI/AAAAAAAAfcU/BeNqPLqtQQg/s1600/makubwa.jpg

No comments: