Monday, May 27, 2013

MTANGAZAJI WA TV ANYONYA MATITI LAIVU KUONJA MAZIWA YA MWANAMKE "VIDEO"

Mtangazaji wa kituo kimoja cha Televisheni nchini Uholanzi aliacha watazamaji wamepigwa na butwaa baada ya kunyonya matiti na kunywa maziwa moja kwa moja kutoka mama mmoja wakati wa kipindi chake.

Mtangazaji huyo, Paul de Leeuw, alikuwa amealika kundi la wanawake kutoka asasi moja ambayo inaruhusu kubadilishana maziwa ya mama kati ya akinamama kwenye kipindi chake cha burudani, Langs de Leeuw.

Kwenye hiyo video, tafsiri ya mazungumzo yao yalienda kama hivi:

Leeuw: “Maziwa yana ladha gani, ni matamu? Umeshawahi kuyaonja?”
Wendy: “Ndio, huwa nayaonja mwenyewe kila wakati kabla kuyagawa”
Leeuw: “Nani anaweza kunipa rukhsa kuyaonja”?
Wendy: “Unaweza kuonja yakwangu, nimekuletea chupa tayari”
Leeuw: “Siwezi kupata moja kwa moja kutoka kwenye titi kati ya moja wenu?” (wahudhuriaji wacheka)
Wendy: “Well …. kama hautang’ata, unaweza kujaribu toka kwenye titi langu …” (wahudhuriaji wacheka na kupiga makofi)
Leeuw: (akijitayarisha): “Kamulia usoni mwangu!! haha, hapana, hapana. Ninafanya vipi?”
Wendy: “Sijui, sijawahi kunyonya kutoka kwenye titi moja kwa moja …”
Leeuw: (Baada ya kunyonya na kuonja maziwa kutoka kwenye matiti yote mawili): “maziwa kutoka kwenye titi la pili ni matamu zaidi, lakini nimepata ladha inayoonyesha ulikula asparagus jana” (Asparagus ni aina ya mboga)
Wendy: “Well, sio jana ila nilikula asparagus Jumanne, haha”

Kipengele hicho kimeibua shutuma kali katika mitandao ya kijamii lakini Wendy ametetea mabadilishano hayo yasiyo ya kawaida, akisema ilikuwa ‘kwa nia njema’.

Saturday, May 18, 2013

NEW SONG "HOLD ME BACK" BY NAVY KENZO DOWNLOAD AND LISTEN IT FROM HERE

huu ni wimbo wa kwanza kutambulisha ujio mpya wa kundi hili la NAVY KENZO linaloundwa na Nah reel,Aika na weestar!!!

 https://fbcdn-sphotos-b-a.akamaihd.net/hphotos-ak-ash3/601874_10201132596386724_2147160884_n.jpg.


http://api.ning.com/files/Vku3s2wlMTWZZHVgQ9Yv6SV73k9U4oXFuETQU2pW3WL2vX0bwoAzA7XZwl7AtQyJwjsD8zv2ULw2snfcxvSV8yl9ijaAvOXt/NavyKenzo.jpg

download it from here


Thursday, May 16, 2013

LINAH NA BARNABA KUTIMULIWA THT

 http://sphotos-h.ak.fbcdn.net/hphotos-ak-prn1/p480x480/923550_575368135829958_1321186062_n.jpg

KUELEKEA shoo maalumu ya Miaka 13, ya mwanamuziki nguli wa bongo fleva nchini na kiongozi wa bendi yenye msisimko mkubwa ya ‘Machozi Band’, Judith Wambura ‘Lady Jay Dee’ au Jide’ huenda kwa upande wa wasanii wa Nyumba ya Vipaji ya THT, Linah Sanga na Barnaba mwaka huu ukawa mchungu kwao kufuatia kuwepo taarifa za kutimuliwa na uongozi wa juu.

Kwa mujibu wa vyanzo kutoka kwa mtu wa karibu wa Linah kilieleza kuwa mpaka sasa msanii huyo hana raha na wala hajui ataanza vipi katika harakati zake za kimuziki hasa kufuatia hivi karibuni kukacha shoo ya nguli Lady Jay Dee kwa shinikizo kutoka kwa wakubwa zake. Hata hivyo, Linah inadaiwa uongozi wa juu umekaa kikao na hatua iliyofuatia kwenye kikao hicho ni kuwaondoa kabisa kwani huenda wakatia doa wasanii wenzao ndani ya kundi hilo.
“Juzi Linah, haikuwa kawaida yake maana hata alipopigiwa simu kwa ajilhatua zingine alionekana kuwa na hofu, na wala hakutaka kusikia ushauri wangu ambao nilikuwa nikimhusia kuwa aachane na mawazo hayo kwani jambo analoliwaza huenda likaisha na hata maamuzi yatakayotoka yatakuwa ni kawaida” kilieleza chanzo kutoka kwa mtu wakaribu wa Linan, ambaye hata hivyo alisema kuwa huenda ukweli wa jambo ukawa hadharani
.https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgS9Q5lG3bsAFhKVCOmWdCZddPpJIfuxGclZr-Q9W1EgQ30yhgGysBeRx9hszuI-3XY6qDPclNQATmQkobZ0xcGs1T7szUZy7oV9PeI_yLEHTXcp6bCh2zmBD9JmOvosc9mFfpjbHWOzuXl/s1600/linah3.jpg
Hata hivyo taarifa za ndani za uongozi wa THT zilibainisha kuwa mpango wao wa kuwashughulikia wasanii hao upo pale pale na taratibu zinafuata ilizisilete madhara kwa wasanii waliopo ndani ya THT na watu wa karibu wanaoiunga THT.

“Wewe nani kakwambia kama tumewaadhibu Lina na Barnaba?, ndio kwanza tunakusikia wewe hizo taarifa, sisi tunafanya mambo yetu wao waache wafanye yao tukiwa nao sie na tunaouwezo wa kuwatimua ilikulinda hadhi ya THT” Kilieleza chanzo hicho ambacho hata hivyo kutokana na usalama wa jina lake tumelihifadhi. Ambapo namba yake inaishia na**08.
Aidha, katika ‘ku-balance’ uhondo kamili wa habari hizi wasanii hao wote walipotafutwa kwenye simu zao za mkononi lakini hawakuweza kuwa hewani kwa muda mrefu.. na hata alipopigiwa mtu wao huyo wa karibu naye alizima simu.
Katika kile kinachoeleza kupamba moto shoo hiyo, na kujaa kwa taarifa mbalimbali juu ya wasanii watakaopamba shoo ya miaka 13, Mei 31 ndani ya Nyumbani Lounge, Tayari tiketi zimeanza kuuzwa maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es Saalam.
 http://dartalk.com/wp-content/uploads/2012/03/barnaba9.jpg
Shoo hiyo ya kijanja Nyumbani Lounge, patakuwa hapatoshi pale wadau wa burudani na wastaarabu wote watakapojumuika kwa pamoja ku-shoo love kwa Lady Jay Dee na Machozi Band, huku listi ya mastaa mbalimbali wanatarajia kuudhuria sambamba na ‘surprise’ kutoka kwa mastaa hao ambao kwa sasa wengi wapo kimya wakihofia kutengwa na wazee wa ‘fitina bin Logiki’.
Awali kulikuwapo na taarifa za kuwapo kwa msanii Matonya, ambaye hata hivyo mtandao wa Lady Jay Dee ulitoa hadharani kuwa mwanamuziki huyo ameshachukua ‘advance’ ya shoo hiyo na wazee wa ‘kuingilia logik’ wameshamtisha Matonya ili ajitoe, lakini akiwa ameshatafuna pesa ya watu.
Mtandao huo wa kijamii blog, ilinukuu kila kitu juu ya Makubaliano baina ya Capt.Gadna G Habashi na Matonya ambapo pia unaweza kuyasoma kupitia (Ladyjaydee.blogspot.com) Pia ulitoa kwa mara ya kwanza picha,maelezo muhimu na video ya wanamuziki hao wawili Linah na Barnaba wakiingia mkataba wa shoo hiyo na pia kuhamasisha watu kufika Mei 13..

NU JOINT: VISIOR CMB,NEGRO & WIZ KENNETH~ "CAUSE I" DOWNLOAD AND LISTEN IT FROM HERE

         VISIOR CMB
.


      WIZ KENNETH
.

          NEGRO
.

DOWNLOAD AND LISTEN FROM HERE

Wednesday, May 15, 2013

PICHA ZA UTUPU ZA MWANADADA SAPNA WA VIDEO YA JAMBOJAMBO YA STEVE R&B ZANASWA.

.
Hizi ndizo picha za mwanadada aisha firoz au kama anavyojulikana na wengi kama "sapna" aliyepamba video ya Steve R&B ya "jambojambo" ....
chanzo chetu cha kuaminika cha habari kimesema mwanadada huyuy anapenda kujipiga picha hizi akiwa peke yake na hizi ni baaadhi ya picha hizo !!!!!




.

Tuesday, May 07, 2013

PICHA YA FARAGHA YA SALAMA JABIR YASAMBAA MTANDAONI

.
Mtu ambaye hajaandika jina lake amesambaza picha ambayo inamuonesha inamuonesha mtu ambaye amedaiwa kuwa ni SALAMA JABIR ambaye ni mtangazaji wa kituo cha tv cha EATV.
Ambapo mtu huyo amedai picha hii ameitoa kusikojulikana na amedai kuwa ana wasiwasi na mtu aliyekuwa pembeni ya salama kama picha inavyoonesha hapo chini kuwa ni mwanamke kutokana na kamba zinazoonekana eneo la mabegani karibu na shingoni na kudai kuwa ni za sidiria


http://1.bp.blogspot.com/-NXFWgXqiGAA/UYipJzfpajI/AAAAAAAAfcU/BeNqPLqtQQg/s1600/makubwa.jpg

CHIDI BENZI ASHUHIWA KIPIGO NA KALAPINA NDANI YA MAISHA CLUB {TAZAMA VIDEO HII}

msanii wa hip hop bongo chidi benz amejikuta matatani kwa kuchezea kichapo kutoka kwa msanii mwenzake KALAPINA pale alipoingilia shoo yake maisha club
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhFpvDtT46-roDa_WcRYYUPBLQtsc51v3VFNddONCrp1ad5Mg-rxeIIY-uAQLpuV9Zv6REhjGcAPEP2vQJwAGyEHk170U7onXcwkoliMbzuvLA-tOY8PJB88kLLPCmr8Jkz4Zneed7jGcQ/s1600/pina+&+chidi.jpg.

 http://4.bp.blogspot.com/-i9sJKitCytY/UYkZodR7bgI/AAAAAAAAffA/N5aWVqEakKg/s1600/KICHAPO.jpg.

 https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg10XoWYiYgAinyirXKSW9DtewRTFz0stEEu7e8QRhKVkJmZcm03UuaXXier9UgpxIs5uK-grIhnDz8NG_GIjXGFEPg29fhfzLbOaFLwOclXmXGlrWxT1VX6RWkDn-vAAV9gbWEmiYytoM/s1600/IMG_3814.JPG
TAZAMA VIDEO YA TUKIO ZIMA HAPA

HII NDIYO INTERVIEW YA MKURUGENZI WA CLOUDS FM, RUGE MUTAHABA KUHUSU TUHUMA ZA JAYDEE

Hiki ndicho alichoongea mkurugenzi wa clouds FM Ruge Mutahaba akitolea ufafanuzi kuhusu tuhuma alizotoa lady jaydee!!!
Sikiliza interview hapa
ruge-mutahaba-lady-jaydee-clouds-fm

HIKI NDICHO ALICHOKIANDIKA LADY JAY DEE KWENYE UKURASA WAKE WA FACEBOOK BAADA YA INTERVIEW YA RUGE

Sakata la Lady JayDee na wakurugenzi wa Clouds FM, Ruge Mutahaba na Joseph Kusaga, halionyeshi dalili za kupungua kasi muda wowote hivi karibuni. Baada ya Ruge kuzungumzia kwa kirefu drama hiyo kwenye interview.Jide ameendeleza harakati zake dhidi ya mapedejhee hao kupitia Twitter na Facebook, ambapo alianza kwa kuwapa washabiki wake teaser ifuatayo 

at Facebook: “Kama mtakumbuka niliahidi kutoa awamu ya pili tar 15 au 17 May na ahadi ni deni..Japo naona mbali ila Nitafanya hivyo, bado nina mengi sana ya kuzungumza kuhusu Ruge na wenzake…Ile ilikuwa ni trailer tu, Movie ndio linaanza sasa #TeamAnaconda no surrender”


 lady-jay-dee-ruge-mutahaba-clouds-fm-twitter-interview-0

Sunday, May 05, 2013

CHANZO CHA MLIPUKO ULIOTOKEA KANISANI ARUSHA HIKI HAPA {PICHA ZA TUKIO}


.
HABARI YA MLIPUKO-ARUSHA CHANZO KINASEMA, BOMU HILO LIMELIPUKA WAKATI WAUMINI WA KANISA HILO LA KATOLIKI WAKIENDELEA NA SHEREHE ZA UZINDUZI WA KANISA HILO JIPYA JIJINI ARUSHA
TAARIFA ZINASEMA KUWA KUNA BAADHI YA WATU WAMEJERUHIWA NA KUWAHISHWA HOSPITALI KWAAJILI YA MATIBABU NA MPAKA MUDA HUU HAKUNA ALIYEPOTEZA MAISHA KUTOKANA NA BOMU HILO.
 
CHANZO CHA BOMU HILO INASEMEKANA KUNA GARI AINA YA HIACE ILIFIKA KANISANI HAPO NA KUSIMAMA BAADAE AKASHUKA MTU ALIYEKUWA AMEVALIA VAZI MITHILI YA KANZU NA KURUSHA BOMU HILO
 
BALOZI WA PAPA NCHINI NDIYE ALIYEKUWA MGENI RASMI KATIKA UZINDUZI WA KANISA HILO JIPYA JIJINI ARUSHA NA AMENUSURIKA KATIKA BOMU HILO ILA WATU WENGI WAMEJERUHIWA
 
HIZI NI BAADHI YA PICHA KATIKA ENEO HUSIKA:
 
..
 waathirika wa mlipuko huo
.
kanisa ambapo mlipuko umetokea


..
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjv8SsgP_YYAu0fkttwumLERJZKYfR18BuBmZi1wfHtWFYk3vObIobK_PFKULGI4dw-thebGDHsmJQKys-krh_8XxMpPdM84SuV3g9teCjKStVWb1f1kRF1Hszm9exO3-M3oWxrgGNew1Hi/s1600/IMG_20130505_130432_0.jpg Waumini pamoja na baadhi ya wanacchi wakiwa katika hali ya taharuki wasiamini nini kilichotokea kutokana na mlipuko mkubwa uliotokea asubuhi ya leo.
 

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Ibrahim Kilongo.


JESHI la Polisi Mkoani Arusha linamshikilia mtu mmoja ambaye anahusishwa na kutokea kwa mlipuko uliotokea katika kanisa la Katoliki la St Joseph Olasiti Arusha leo asubuhi.

Tukio hilo lilitokea wakati Balozi wa Papa kutoka Vatican akizindua Parokia hiyo mpya ya St Joseph Olasiti ya Jijini Arusha.
Kanisa lililolipuliwa likiwa linaonekana kwa mbali huku wananch wakilitazama kwa mbali kutokana na tishio la kutokea kwa milipuko mingine ...Mtu mmoja amekamatwa kuhusiana na tukio hilio wakati wengine wanasadikika kukimbia.

 

Saturday, May 04, 2013

NEW SONG; VISIOR CMB FT WIZ KENNETH "WAKASEMA" DOWNLOAD AND LISTEN FROM HERE

hii ni new song iliyofanywa na VISIOR CMB ambaye ni mmliki wa blog hii akimshirikisha WIZ KENNETH ni ujio mpya!!! wimbo umefanywa STIM RECORDS chini ya producer stim master!!

na huyu ndiye visiorCMB



visior CMB alipokuwa akirekodi wimbo huu
DOWNLOAD AND LISTEN THIS SONG FROM HERE

PADRI ALIYENASWA NA MKE WA MTU " MUME AIBUKA NA KULIPONDA KANISA KATOLIKI"

LILE saga la madai ya fumanizi la Padri Urbanus Ngowi aliyekuwa akihudumu katika Parokia ya Korongoni, Moshi Vijijini kabla ya kuhamishiwa Makomu, Marangu limeibua mtikisiko mkubwa kwa Kanisa Katoliki nchini, .
 


Katika habari iliyofichuliwa , Aprili 29 hadi Mei 5, mwaka huu, ilidaiwa kuwa Father Ngowi alinaswa chumbani akiwa na mke wa mtu aliyetajwa kwa jina la kijamii la Mama P. Mara baada ya ‘mzigo’ huo kuingia mitaani nchi nzima, mhariri wa gazeti hilo (jina linahifadhiwa) alianza kupokea simu na ujumbe mfupi wa maneno (SMS) kutoka kona mbalimbali kwa watu waliojitambulisha kuwa ni waumini wa kanisa hilo wakidai kushtushwa na tukio hilo.  

Habari za ndani kutoka Kanisa Katoliki Jimbo la Moshi zilieleza kuwa baada ya ishu kuwa ‘hoti’, viongozi wa jimboni hapo, Jumatatu iliyopita walikaa vikao vizito kulijadili suala hilo na kulitolea uamuzi. Ilidaiwa kuwa uongozi ulikubaliana kumwita mume wa Mama P ambaye wakati tukio hilo likitokea alikuwa jijini Dar es Salaam kwa shughuli zake binafsi. Ilisemekana kuwa waliwasiliana na mwanaume huyo ambaye alitakiwa kuondoka Dar, Alhamisi iliyopita kwenda Moshi kukutana na viongozi hao kwa lengo la kuweka mambo sawa. Ilidaiwa kuwa jamaa huyo ambaye amezaa na Mama P watoto wawili, alikubali kukutana na viongozi hao kwa shingo upande huku akitishia kulipeleka suala hilo mbele zaidi kwa kuwa alishalalamika muda mrefu kwamba Father Ngowi ana ukaribu wenye maswali mengi na mkewe.

Tulitonywa kuwa baada ya mwenye mke huyo kulalama sana, Father Ngowi aliitwa na uongozi wa jimbo hilo kisha akaonywa lakini hakuna kilichobadilika. AHADI NI DENI Ili kujua uamuzi uliofikiwa ambao Mwakilishi wa Mkuu wa Jimbo la Moshi, Father Paul Uria alimuahidi Mhariri wa Ijumaa Wikienda kuwa Jumatatu iliyopita saa 10:00 angemweleza, alipigiwa simu ambapo mambo yalikuwa hivi: Mhariri: Pole na majukumu Father Uria. Father Uria: Nashukuru, nazungumza na nani? Mhariri: Mimi ni yule mhariri (akitajiwa jina) ambaye tulizungumza Ijumaa iliyopita juu ya lile tatizo la Father Ngowi. Father Uria: Naam, unasemaje? Mhariri: Uliniahidi nikupigie simu leo muda huu ili uniambie jimbo limefikia uamuzi gani juu ya suala hilo baada ya kukaa kikao. Father Uria: Nipo njiani naendesha gari (akakata simu). Saa moja baadaye, Father Uria alipigiwa tena simu lakini iliita bila kupokelewa. UJUMBE MFUPI Baadaye alitumiwa ujumbe mfupi wa maneno (SMS) kupitia simu yake ya kiganjani lakini hakujibu. Mambo yalipogonga mwamba kwa Father Uria, alipigiwa Father Ngowi ili kujua mustakabali wake juu ya sakata hilo, akawa anakata simu na hata alipotumiwa ujumbe mfupi naye hakujibu. JUMANNE WIKI HII Kesho yake (Jumanne iliyopita), Father Uria alipigiwa simu kwa namba tofauti, alipopokea na kusikia utambulisho alikata simu na alipopigiwa mara nyingine hakupokea. Kwa upande wake, Father Ngowi naye alipokea bila kusema chochote, akasikilizia anayepiga na aliposikia utambulisho alikata simu. MUME WA MAMA P ASAKWA Tulimsaka kwa udi na uvumba mume wa Mama P (Mama Peter), Bw. Pasian Mallamsha ambapo Jumatano iliyopita alijaa kwenye kumi na nane na kueleza ya moyoni mwake kuhusu tukio la mkewe na Father Ngowi. Kwanza mwanaume huyo alikiri kwa njia ya simu kuwa, Mama P ni mkewe na ‘P’ ni herufi ya kwanza ya jina la mmoja wa watoto wao aitwaye Peter.

 “Kwanza nashukuru kwa kunipigia. Nimesikia kilichotokea na ni kweli nimeitwa jimboni Moshi kwa hiyo naelekea huko kusikia walichoniitia. “Kilichotokea kimedhihirisha malalamiko yangu ya muda mrefu juu ya Father Ngowi niliyokuwa nikiyapeleka pale jimboni. Ngoja nikawasikilize lakini lazima kieleweke,” alisema mwanaume huyo. Tulimuomba Baba Peter kukutana naye uso kwa uso kwa ajili ya mahojiano zaidi lakini ilishindikana kwa kuwa alitaka kupata ushauri kwanza kutoka kwa kaka yake hivyo bado anasubiriwa kufunguka zaidi.

Wakizungumza juu ya sakata hilo, baadhi ya waumini wa Kanisa Katoliki mjini Moshi, walimuomba Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Tanzania, Muadhama Polycarp Kadinali Pengo kulitolea tamko suala hilo ili kutuliza upepo na kumaliza ‘sintofahamu’ ya mustakabali wa Father Ngowi. “Jambo hili ni zito na linalitia aibu kanisa na waumini wake. Tunaomba Kadinali Pengo atoe sauti ili tujue msimamo wa kanisa,” alisema Paulo Swai, mkazi wa mjini Moshi. Hivi karibuni, Father Ngowi alikutwa na mkasa wa kudaiwa kufumaniwa akiwa kwenye nyumba yake paroki

Wednesday, May 01, 2013

WOSIA ALIOTOA LADY JAY DEE "AWATAJA WABAYA WAKE NA KUSEMA WASIHUDHURIE MAZISHI YAKE"

http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2013/03/578551_10151281152335025_1668082456_n.jpg.
 
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgOYxfVN5XzfBcd0LNThrGKJOW6Ns-stbhhZxDaow6U1JPoG5hrRmYQThSi3_Yys00EwNLpwlPWnSNNueSxVqapwMKmdFfmUjNy87UqGM-SY4TbTw9iXMc_74BMXAuArh84ZHOdPQkRtOKT/s1600/lady_jay_dee.jpg
 
Watu wanashtuka mtu akiongelea kifo, Utafikiri hawafahamu fika kuwa kila nafsi itakionja, Kwenye maisha yangu nimepitia mambo mengi, magumu na mepesi
Na bado naendelea ku experience mambo magumu zaidi kadri ninavyozidi kuwa mkubwa.
Siku za karibuni nimekuwa nikipigwa vita sana na watu wenye uwezo mkubwa kifedha , ki umri na hata wenye ukubwa wa connection katika hii industry ya muziki. Wanaomiliki chombo cha habari.
Nasimama na kusema kuwa sitokata tamaa, kwani lengo lao kubwa ni kuona na kuhakikisha nimeanguka kabisa na sipo katika ramani ya muziki.

Watu hao ambao vita yao ilikuwa baridi miaka kumi iliopita, sasa inazidi kuwa moto baada ya kutambua kuwa mimi ni mtu mwenye maamuzi yangu na misimamo yangu bila kuburuzwa.
Wanapita kila mahali kuhakikisha kila mrija unaoniingizia chochote unakatika, na hiyo ni kutaka kuuthibitishia umma wa Tanzania kuwa hakuna msanii anaeweza ku survive bila wao.
Mimi ni msanii tofauti na hao mnaofikiria.Nadhani mnafahamu tangu niachane na Tuzo zenu mnazo influence nani apate nani asipate, na tangu niachane na Fiesta nilipolipwa laki 8 mara ya mwisho na kuamua kuunda Band ili nijiajiri na kupata shows zangu mwenyewe, ikafanikiwa sana jambo ambalo limewauma na kuamua kufanya kitu cha kuiangusha Band yangu.

Nita survive kwa njia zozote MUNGU alizonipangia.Wakati bado wote tunapumua na kwakuwa watu hao hawanipendi kabisa, Naamini fika hawataweza kunipenda hata siku nitakapokuwa nimekufa.
Na huu ndio wosia wangu kwa watu hao.
Natambua wanaweza kutumia redio yao kutangaza sana kifo changu na kusema marehemu alikuwa mtu mzuri na pengine kupiga nyimbo zangu kuanzia asubuhi mpaka jioni.
Ila naomba nitamke hivi, siku nikifa CLOUDS FM isipige nyimbo zangu, wala isiongelee lolote kuhusiana na kifo changu.
Ruge Mutahaba na Joseph Kusaga wasihudhurie msiba wangu, na mkiwaona muwapige wame. Enyi mtakaokuwa hai baada yangu.
Kama wamenifitini, na hawajanipenda nikiwa hai. Hakuna haja ya kujifanya kunipenda nikiwa marehemu.

Sina haja wanipende pia kwakuwa mimi sio ndugu yao, Ila ubaya wanaoundeleza mioyoni mwao wanaujua na nina hakika nafsi zao zinawasuta pia.
Niliamua kujiepusha nao miaka mingi na kufanya biashara zangu, nimekaa kimya watu wanafikiri nabebwa lakini sijabebwa chochote sikutaka ugomvi haya mambo yalianza baada ya Album yangu ya pili ya Binti mwaka 2003 nilipojitoa Smooth Vibes chini ya Ruge.
Nilivumilia fitna nikiamini ipo siku yatakwisha lakini naona moto ndio unazidi kuwaka.
Na hii ni kwasababu wanaogopa msanii akiwa mkubwa watashindwa kumuamrisha, Hamuwezi kumiliki dunia..
Kama mnasema mlinibeba mbona hamkuwabeba dada zenu wa tumbo moja waimbe ili hela irudi nyumbani??. kama kweli wewe Kusaga unajua kubeba basi beba jiwe liimbe liwe star..
Kwa roho zenu mbaya mnaweza kumbeba mpita njia nyie??.Talent haibebwi, hujibeba kama mnabisha si mna watoto wabebeni basi wawe kama kina Diamond ndio nitaamini kweli nyie mnaweza kubeba watu.

Mnawatishia wasanii kuwa yoyote atakaefanya nyimbo na mimi hazitapigwa, vikao vinne mmeshakaa kunijadili.
Mnadhani je! nitapungukiwa nini endapo wasanii wengine wakiacha kufanya kazi na mimi?? nyimbo hazitakuwa nzuri.
Basi sawa ngoja tuone MUNGU ni nani, Binadamu nani?? Kwahiyo mtaamrisha watu pia wasikae na mimi??

Ilikuwa niseme majina matatu huyo mmoja nimemsamehe baada ya kugundua sio hiyari yake ila yuko under influence ya hawa jamaa wawili.
Kila siku mnamsingizia Ruge peke yake Kusaga ni mfitini kuliko hata huyo Ruge, watu hamjui tu.
Mtu hela zote hizo bado shillingi mbili ya Jide inakuuma?? Roho gani hiyo??
Naishia hapo na sitabatilisha kauli yangu
JIDE