Monday, December 31, 2012

WOLPER AIKUBALI STYLE YA NYWELE YA SOLANGE KNOWLES

Muingizaji wa Filamu za bongo hapa nchini maarufu kama Wolper leo asubuhi kupitia katika mtandano aliweza kufunguka na kusema ametokea mara kwa mara kukubali sana style ya nywele ya mwanadada Solange Knowles. na unakuta kuna wakati anatumia muda mwingi kuweka nywele zake sawa ili ziwe na muonekano mzuri pale anapotoka out labda anapofanya shughuli zake za sanaa.

ADAMU MCHOMVU ATOA RUKSA KUTENGENEZA VIDEO YA JONII


Mtangazaji wa show ya Double XXL na Bongo Fleva kupitia 88.5 Clouds FM radio maarufu kama Adamu Mchomvu au Baba Jonii,baada ya kutamba na ngoma yake kali inayokwenda kwa jina la Jonii,sasa leo ameamua kutoa ruksa kwa mashabiki wake kwa wale wanaotaka kutengeneza video hiyo ya Jonii.Huu ni ujumbe kutoka aliyoandika katika blog yake na kutoa ruksa hiyo"YEs,  kama  kumbukumbu zako zitakuwa  poa  basi haina shaka  utakuwa  unakumbuka  kama Jumamosi iliyopita  nilitoa  ruhusa kwa  mtu yeyote  anaona anaweza fanya  video ya  ngoma yangu matata ya 'Jonii' amabayo kitambo  kidogo ilisumbua  kwenye gemu lakini  nilikuwa sijagonga  kichupa  chake kwa  masababu kibao tu.  Round  hii nikatoa hiyo 'nike' ya watu kufanya  video na  kunitumia  nashukuru  mwitikio umekuwa  mkubwa  watu wamenigongea  4n wakisema  wameshaanza  mchakato huo na 'soon' watazidondosha  kwangu soo  kama na wewe ni mmoja wao fanya  hivyo

VANESSA MDEE KUTAMBULISHA NGOMA YAKE MWAKANI

Baada ya kufanya vizuri katika collabo mbili kati ya A.Y na Ommy Dimpoz aliweza kufahamika  na kupelekea mashabiki wengi kumkubali katika muziki wa Bongo Fleva,Sasa kama unakumbuka siku ziliyopita alifunguka katika ukurasa wake wa twitter na akasema kwamba anatarajia kuachia ngoma yake mpya siku ya tarehe 26 mwezi huu lakini mpaka sasa kimya ni tatizo.
 Leo kupitia Double XXL aliamua kufunguka na kusema kwamba amekuwa na mambo mengi sana na ndiyo maana hakuweza kuitambulisha katika vituo mbalimbali vya ma radio ila anatarajia rasmi kuiachia mwakani mwezi wa kwanza tarehe 12.Kwa hiyo kama wewe ni shabiki wa Vanessa Mdee kaa tayari kwa ujio mpya kutoka kwake.

Thursday, December 27, 2012

BARNABA NA SUMALEE WAFANYA SHOO YA UKWELI LONDON


.
.
Barnaba.
MC Jestina akimtambulisha kwenye stage Promota Safina Kassu.
Sumalee kwenye stage pia.
Kassu Ent iliandaa tamasha maalum kutoka kwa wasanii wetu wa kizazi kipya iliowajumuisha Barbaba na Suma Lee. Tamasha hili lilikwenda sambamba kwa kusherekea miaka 51 ya Uhuru wa Tanzania Bara iliyofanyika siku ya jumamosi tarehe 22.12.12 jijini London katika ukumbi wa Stratford.
Mgeni rasmi alikua naibu Balozi Chabaka Kilumanga alieambatana na mkewe Irene Kilumanga. Aidha Mh Balozi Kilumanga aliwapongeza watanzania walioweza kuja kujumuika na kusherekea pamoja katika siku hii na kuwasihi kuendeleza mshikamano kwa kuishi pamoja kwa amani na upendo.

WATU WAWILI WAUAWA MBEYA CHRISTMAS

Watu wawili wameuawa katika matukio tofauti mkoani Mbeya wakati wa sikuu ya Krismas likiwamo tukio la kijana mmoja kumuua kaka yake kwa kumchoma kisu.

Akizungumza na NIPASHE jana, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mbeya, Diwani Athumani, alisema kuwa katika tukio la kwanza lililotokea majira ya saa 2:00 asubuhi katika maeneo ya Sae Jijini Mbeya, mtu mmoja ambaye bado hajafahamika, aliuawa na wanachi wenye hasira baada ya kumtuhumu kuwa ni mwizi.

Alisema kuwa mtu aliyeuawa ni kijana anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka kati ya 20 na 25 ambaye alishambuliwa kwa marungu na mapanga hadi mauti yalipomfika.

Kamanda Diwani alisema kuwa baada ya mauaji hayo, watu waliokuwa wakimshambulia walitoweka na kuwa hadi sasa Jeshi la Polisi halijagundua marehemu alitaka kuiba nini wala mahali alipotuhumiwa kuiba.

Katika tukio la pili lililotokea wilayani Rungwe, Kamanda Diwani alisema kuwa kijana Itamu Mwakagenda (23) aliuawa kwa kuchomwa kisu kifuani na ndugu yake aitwaye Nebo Daudi maarufu kwa jina la Isalikila wakati wakigombea panga.

Kamanda Diwani alisema kuwa majira ya saa 12:00 asubuhi wakati watu wakijiandaa kwenda kanisani, kuliibuka ugomvi miongoni mwa wanandugu hao kila mmoja akihitaji panga ili alitumie kwa shughuli zake.

Alisema ugomvi huo ulisababisha Nebo mwenye umri wa miaka 21 kuchukua kisu alichokitumia kumchoma kifuani kaka yake na kumsababishia kifo papo hapo.

Alisema baada ya mauaji hayo Nebo alitoroka na kuwa hadi sasa Jeshi la Polisi linaendelea na msako dhidi yake ili afikishwe kwenye vyombo vya sheria.

Aidha, Kamanda Diwani alisema kuwa mbali na matukio hayo ya mauaji, Jeshi la Polisi mkoani Mbeya linawashikilia watu 16 waliokamatwa kwa tuhuma mbalimbali zikiwamo za kukutwa na bangi na unywaji wa pombe haramu ya gongo.

NAS SUED FOR $10M BY PROMOTER HELD IN ANGOLA

Nas



Nas has been sued by a New Jersey concert promoter, who spent 50 days in custody in Angola, after a botched hip-hop concert that was supposed to feature the rapper.
According to Allhiphop.com, Patrick Allocco filed the lawsuit against Nas on December 21 in Manhattan Federal Court.Nas was supposed to perform at two New Year’s Eve shows in the nation’s capital of Luanda, but allegedly attended an event for LeBron James in Miami.
Nas had received a $300,000 advance from Allocco, who was representing AllGood Entertainment, which was fronted by a promoter in Angola named Henrique “Riquhino” Miguel, who paid $315,000 for an appearance by Nas and Jemiah Jai.
Patrick Allocco and his son Patrick Jr. were allegedly “kidnapped” at gunpoint by Riquhino and his associates and were not allowed to leave Angola.
After the State Department intervened, Nas returned the $300,000 advance.
In late February of 2012, Patrick Allocco and his son were finally released from Angola.

SIX MONTHS IN JAIL FOR INJURING A COW

The Bunda District Court in Mara Region has sentenced Cosmas Makoro (62), a resident of Salamakati Village in Bunda District to six months in jail or a fine of 100,000/- for attacking a cow with a machete and injuring it badly.

Earlier, the Police Prosecutor, Masoud Mohamed, told the court before Magistrate Safina Simfukwe that the accused had committed the crime on November 20, 2010 at around 12 noon at Salamakati Village.

Mohamed said that the cow was the property of Nyaboyenze Maage and that the accused attacked it on claims that the cow had entered his farm and destroyed some crops.
He said that after the cow was badly injured it later died after losing lots of blood from the wound.

He said that when the agricultural extension officer went to inspect the farm, there was no sign of any crop destruction as it had been claimed by the defendant.

Following the evidence produced by the court, Magistrate Simfukwe said the court was satisfied beyond reasonable doubt with the evidence and therefore sentenced the man to six months in jail or pay a fine of 100,000/-.

Furthermore, Magistrate Simfukwe ordered the convict to compensate the cow owner immediately after serving the sentence.

106 BABIES BORN ON CHRISTMAS DAY IN TANZANIA

A TOTAL of 106 children were born on Christmas Day in Amana, Mwananyamala and Temeke Hospitals in Dar es Salaam Region.
The number brings to 244 babies that were born during Christmas celebration in the region. A survey conducted by this paper established that 38 of the babies were born at Temeke Hospital in Temeke District.
Temeke Medical Officer-in-Charge, Dr Curtias Mbalamula said that 24 were girls while 14 were boys.
In Amana Hospital, Ilala District, 37 children were born and among them 17 were girls and 20 were boys. In Mwananyamala Hospital, Kinondoni District, 31 children were born.
According to the Mwananyamala hospital Nurse- in-Charge, Ms Angela Magesa, 17 children were boys and 14 were girls. She, however, said the number of delivery has gone down at the hospital compared to past holidays.

CHIPOLOPOLO COACH HAILS TAIFA STARS

Zambia football national team (Chipolopolo) head coach Herve Renard has hailed Taifa Stars for their performance, saying the team have potential to become one of the most feared teams in the continent.

Renard was speaking after his team lost 1-0 to Taifa Stars in an international friendly football match played on Saturday at the National Stadium in Dar es Salaam.

The Zambian coach said the country can achieve a lot in football as they have built a very good youthful team with players who are very dedicated and determined.

The French tactician said the game against Taifa Stars was excellent to his side preparations to defend the African Cup of Nations which is scheduled to take place in South Africa in January next year.

“The one nil defeat to Tanzania was a good practice match. It was a tough encounter but in the end of a very good training game we were unlucky not to score a goal.

“Tanzania are building a very good team which is made up of young players who are more dedicated and determined. I hope they will have one of the good sides in the future,” he said.

He said Tanzania were worthy winners as they grabbed what he called a well taken goal and were determined to win against the African champions.

He said the match against Taifa Stars was perfect as it gave him the good opportunity to see his players before he names 26 players who will make a team which will start preparations for the AFCON.

Renard said his team will play Morocco on January 8 in Johannesburg, Norway at Levy Mwanawasa in Ndola on January 12, Namibia on January 15, before facing Ethiopia in the AFCON match on January 21.

On the other side, Taifa Stars head coach Kim Poulsen said he was very happy with the results and the way his players played.

He said his players showed high levels of determination and also played according to instructions which he gave them.
Poulsen said he may want more friendly matches before next year’s World Cup qualifying game, but said he will meet Tanzania Football Federation (TFF) officials after Christmas and New Year recess.

“My players played well against one of the big sides in the continent. To me this is just the beginning of good things to come. After the Christmas and New Year recess I will meet football federation officials to discuss the way forward,” he said.
 

PCCB WORKER SHOT BY COLLEAGUE-RPC

An employee of the Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) in Dar es Salaam, Bhoke Ryoba, died at Muhimbili National Hospital yesterday after being shot by a co-worker at a get-together at a beach hotel in the city.
Temeke Regional Police Commander Engelbeth Kiondo confirmed the incident in a telephone interview, saying police have launched investigations into the matter. He said a 34-year-old resident of Mabibo in Kinondoni District, Dar es Salaam, is in police custody in connection with the incident.
Kiondo said Bhoke was shot by her workmate at around 7:30 pm at the hotel where the two and colleagues whose number he would not give were at a party.
Bhoke was immediately rushed to Muhimbili National Hospital (MNH) but she died early yesterday, he noted, adding: “Immediately after the incident, the suspect surrendered at Chang’ombe Police Station… We are still interrogating him.”
Kiondo, who promised to release detailed information on the incident today, explained that the suspect told police he fired the pistol when trying to defend himself against thugs.
“We have dispatched a team of police officers to the scene of the shooting for more details. We expect them to submit a report this evening,” added the RPC.
PCCB Director General Dr Edward Hoseah confirmed that Bhoke died from a gunshot and that police investigations were in progress.
In a press statement issued by PCCB and signed by public relations officer Doreen Kapwani, Dr Hoseah said they have been receiving an avalanche of phone calls from people following the tragic incident.
“It is true that Bhoke has died from a gunshot. Police are working on the matter,” he said.
 

RC PRIEST HAS GOT SHOT ON X-MASS IN ZANZIBAR

A Priest with Mpendae Roman Catholic Church in Zanzibar Ambrose Mkenda was shot by unidentified people, at his Tomondo residence on Christmas Day.

Reports say Father Mkenda was shot twice as he entered his Tomondo residence, from work on Tuesday.
Police in Zanzibar have launched a manhunt to arrest those involved in the incident.

Aziz Juma Mohammed the Zanzibar Urban Regional Police Commander told The Guardian: “Two gunmen on a motorcycle took aim at the priest as he arrived home, waiting for the gate to be opened. They immediately vanished.” He identified the car the priest was driving as Toyota Rav4 with registration number Z 586 AW.

The RPC said of the two shots fired at 8.00pm, one hit the priest in the shoulder and the other his cheek, adding that they found two empty cartridges at the residence gate.
For his part, the priest’s security guard said he only heard two sounds of gunshot, but did not immediately realise that his boss had been shot.

“This is unacceptable, the police force will work tirelessly to ensure that the culprits are brought to account,” he said, attributing power rationing in the area to have made it possible for the gunmen to commit the wanton act and disappear without being recognised.

Commander Mohamed said the police have formed a special team led by the Regional Crimes Officer to hunt down the suspects.

Meanwhile Commander Mohammed said after he was shot, Father Mkenda was rushed to Mnazi Mmoja Referral Hospital in Zanzibar from where he was referred to Muhimbili National Hospital in Dar es Salaam for further treatment.

He warned that the shooting of the cleric in the region should not be attributed to insufficient police patrols during Christmas festivities, insisting that adequate security was available at all houses of prayer.

The commander noted that Father Mkenda is an accountant by profession and is mandated to collect all contributions made in the Church.

“In the belief that during Christmas worshippers make big contributions, there is the possibility that the criminals intended to grab the believers’ contributions,” the commander claimed.

According to the police, the suspected criminals did not take anything from the survivor.
“We’re also investigating whether anything was taken from the priest,” he added.

Father Arbogast Mushi, Managing Director for St Francis Maria Libaman School, who accompanied Father Mkenda to Muhimbili National Hospital said yesterday they decided to take the fight for the priest’s life to MNH after a mini-surgery to his cheek had been performed.

He said the priest was referred to MNH after it was realised that he had wasted too much blood and was continuing to bleed.

Commenting on the incident, Bishop of the Roman Catholic Church Diocese of Zanzibar Cosmas Shao said the church has left the investigation of the matter to the police force and that it will continue to pray for Father Mkenda’s recovery.

For his part, Bishop Michael Hafidhi of the Anglican Church in Zanzibar blamed the police force for failing to protect the people and their property in the Isles.

He said before the incident, some fliers that incited violence were circulated but police did not take any action.
The secretary to the Chief Mufti of Zanzibar - Sheikh Fadhir Suleiman Soraga, was seriously wounded last month after chemicals were poured on him.