Tuesday, March 19, 2013

LIL WAYNE RELEASED FROM HOSPITAL

'@LilTunechi has been officially been released and is headed home,' Mack Maine tweets after Lil Wayne's six-day hospital stay.

 http://allhiphop.files.wordpress.com/2012/11/lil-wayne-e1348757637309.jpg?w=620..

It's been a rough week for Lil Wayne, but after six days in the hospital Weezy is finally headed home on Monday (March 18).
The Young Money rap star was admitted into Cedars-Sinai hospital in Los Angeles after he suffered a seizure on Tuesday, but today YM president and Wayne's close friend Mack Maine broke the good news on Twitter. "Thanks to Cedar Sinai for everything!!! @LilTunechi has been officially been released and is headed home....God is great," he wrote capping his tweet of with an emoticon of a pair of hands in the prayer position.

http://images5.fanpop.com/image/photos/27200000/Weezy-F-lil-wayne-27231351-500-500.jpg

 

LIL WAYNE ALAZWA HOSPITALI -BIRDMAN AKANUSHA HABARI ZA KUZIDIWA KWAKE

http://s3.amazonaws.com/rapgenius/1342794304_lil-wayne_251.jpg

 http://www.inquisitr.com/wp-content/2012/11/Lil-Wayne-Retirement.jpg
Uongozi wa lebo ya Cash Money yenye miliki ya vichwa kibao wakiwemo Nicki Minaj, Lil Wyne, Drake, Tyga, Busta na wengine.. umesema kuna upotoshwaji mkubwa juu ya taarifa za kuzidiwa kwa Lil Wyne ambae amelazwa hospitali toka wiki iliyopita huku media mbalimbali zikiripoti rapper huyo kuwa kwenye hali mbaya sana kiafya ambapo kalazwa kwenye  chumba cha wagonjwa mahututi.

 http://media.salon.com/2012/03/bulls-hawks-basketball.jpeg2-1280x960.jpg
Hata hivyo uongozi wa Cash Money umethibitisha kwamba mshkaji yuko salama na afya yake ni nzuri sasa hivi ndio maana imani yao ni kwamba atatoka hospitali very soon na kusisitiza kwamba taarifa za Wyne kuwa mahututi zilizosambaa mwanzoni zilikua za uongo.
Chanzo cha habari kilichokua kinatoa info kwa TMZ kimesema muda mfupi uliopita Lil Wyne ameonekana mwenye nafuu na hata kuweza kutembea humohumo ndani ya hospitali akiwa na walinzi wake.

 http://rapfix.mtv.com//wp-content/uploads/rapfix/2013/02/wayne21.jpg

ASKARI WA BARABARANI AGONGWA NA KUFA PAPO HAPO. AKIONGOZA MSAFARA WA RAISI

Trafiki wa kike aliyejulikana kwa jina moja la Elikiza aliyekuwa
 akiongoza magari eneo la Bamaga, Mwenge jijini Dar, akifunikwa na
 wasamaria wema baada ya kugongwa na gari na
 amekufa papo hapo.


 
.....

 

Friday, March 15, 2013

LIST YA MASTAA WA BONGO WALIOPATA AJALI MWAKA 2012-2013 HII HAPA

HAWA NDIO MASTAA WA BONGO  WALIOPATA MISUKOSUKO YA AJALI MWAKA 2012-2013 AMBAPO WALINUSURIKA NA WENGINE WALIFARIKI DUNIA

1.COLETHA

 https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgn9y1_B5elIqmjrGbvqIWGbKM2BHQQOgqJdXc7P4zSmABso1rHw594nLiUjJH0uHd7CGzsGji8JwW1P0DhFSJy6WCn-X0H0AuM75iSp-KoCZfH3ziKOu9twNtsSErB5zP5h02nqPjSOKWp/s1600/koletacroppix.jpg.

2.JOHARI

 https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjXBtdQPK9BRk8T3qwrRGq2J73JeCbiwPdUjaXrFf1M_XgHkzf90OdKGa4ESRcIIfu9v46WLxX7Z35baYvGZLGsMLGZW-yK72QFfL5Lz7ovSEUtgwWYA-AH3X15zkUAfMAgyoLLUHmR9mo/s640/johari.jpg.

3.OMMY DIMPOZ

 http://api.ning.com/files/5l1MJ*DPiqv9-TC6VfVio*ljJ6dK3aR0-mf98rsNk3bNDCdG4T53vZCj1C5asRFGN2NhbgLzX8aNNe*dykgWyLwa0V6lIxx4/DSC_0078.jpg.

4.DIAMOND PLATNUMZ

 http://jusiilove.files.wordpress.com/2013/01/keisha-nimechoka2.jpg?w=580&h=310.

5.SHAROMILLIONEA


 http://dartalk.com/wp-content/uploads/2012/11/marehemu_sharo_milionea1.jpg.

6.STEVE NYERERE

 https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEirROFQyYe_mi1oLU6eaxxrEWvIeWpxy999MJ5U1aE-MO9gp6KIfQcJAxW5H1vFYlmYDB6cFmvcbl4u9h5ALVh2z3UMnAuSgAW72hkvDLWgSolkLnFXK7MSffdD7wYZja7gE6j58JkCIpk/s1600/steve-nyerere.jpg.

7.NAY WA MITEGO

 https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgeEW0jkAwHvBZBvSdJ2Kr81ElM5I0Jym791HzjXKjY4kPZqYHR-3fMe_7EjBXPbi0ypxDK6mk4rxMik-kayOj5OhniaH2LcyuyunicOVy7tAhzTpI_Adq1yxVB5XMhyphenhyphen-pvBK5YzSQrswg/s1600/10.jpg.

8.CHEGE

 http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2012/04/chege.jpg.

9.BUI BUI

 http://sphotos-h.ak.fbcdn.net/hphotos-ak-ash3/c89.0.403.403/p403x403/148378_471642549564592_154209942_n.png.

 http://api.ning.com/files/UZ57-5HN3saX5eLW84PJizacum-VxBNA9RD*u*Rn1ol96nUiCwpJy9eERCiYm-ZVkJQJeAE1ybUVczwRSuVOiCp9N8RtsQkZ/IMG20130203WA000.jpg.

10.LINEX

 https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgpIQEDEPpNsDhq0zxaAF9iieQpvzoiqZ8ZqbDgsURKy0ok5XZfMa2Rjr13b5Hh-9lc3NcqRETgnAELNgOawTXjDuaD1SnoNKs47hkhTnNcA1LLYXMQilypswr6FM4PWcr1G8t28qC5hWX6/s1600/Linex.jpg.

11.SUMA LEE

 https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjRBp_YbM1EYO-zXTIzbp3hwHlaowLltRM7JWlFbOOAAY9ON0M3B3Tn7HiOU6XVoTe_xR380idpn9oCqNPo6PUaDm2shHg2fwfuThMDoSt-D7HfitwEOX4l2HTm3J1uk-JMjfUnFZzIUKY/s1600/SUMA+LEEE.jpg.

12.BABA LEVO

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiGUdR0vGD71WtH1xXp28lZR_Zpo1XLHYrIdzJNfZk6YAHoySEb9RwB4hPYBQvX8OmD32b205gykWj1xB5I8-eT9LMbL9pzTM7bvjlFd0NJZ6p1bqLbFNwt7He8zh9Og_85shaUYRuPrEM/s400/baba_levo.JPG
@ViSiOr CmB .inc 

SHOSTEEZ WAPATA DEAL YA KUTENGENEZA TANGAZO LA KINYWAJI

 http://b.vimeocdn.com/ts/426/674/426674402_640.jpg..

 http://blog.greatlakesmix.com/wp-content/uploads/2013/02/SHOSTEEZ_.jpg.

lile group la wanadada watatu ambalo linajulikana kwa jina la SHOSTEEZ ambalo lipo chini ya management ya producer LAMAR limepata deal ya kutengeneza tangazo la moja ya vinywaji vikubwa hapa duniani (jina bado halijatajwa)

 https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgroSh-3reZJVjk07FBlYjfVtHe7rzXMnFWkV9MLpUehVH7RvShmia1-_dx2iNJSZ8yAITlt3zaMr5KfrRpbkDJHur3Jp73-F_T0PQucFaEyxZFKldT9hyphenhyphenasKiIe4t99DX-yPH7a7gJD20w/s1600/shosteez4.JPG.

producer lamar amesema bado wapo kwenye maandalizi ya tangazo hilo ambapo yeye ameshaandika script ya tangazo hilo

 http://api.ning.com/files/gD4bxxFch2jPkA*1rVDdQCEAWDN5Ue0rCX88zc7TXbjfQZqFy529lIx-RKHzaU5Fgc57AosW5QdvWLPQ2ET7NWvRdOEz-4ci/cb0e59b8f7L.jpg
hii imekuja baada ya kundi hili kuachia video myao mpya siku kadhaa zilizopita
 https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjqUxJRrrOdTMraBQSWHJrJpam0qdxHYMcYiwup5r0e68-AJH_eZfpoJiM169ahWRZyZeSEbQAo37NURgTuq_EFThw4100EWziQdxJLrM0iRfae3f6QMdj6dN-z-o-1EBlj06VvikJn9q9V/s640/Shosteezz.jpg..

 https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjJ3_pqhjKjL3WHQXFrSY3-VBPQYGwNLMVM2fUeq13sMtAw46eQUKw927IlFtsolI2bj5oxFiFR3O6FWOPxlUbb-Dgo_5hcFeRQnx3Qxv9Pgrxmw8vMtBDXCMFTFW2QnVhhqtD09WCN-VhW/s1600/Shosteezzz.jpg

ITV, STAR TV NA CLOUDS TV HATARINI KUFUNGWA

 
Wamiliki wa vituo vya utangazaji nchini wameomba kuruhusiwa kwa muda matumizi ya mfumo wa utangazaji wa analojia na digitali ili wananchi wasiokuwa na uwezo waendelee kupata habari kupitia luninga.

Wakizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, walisema kuwa kuharakishwa kwa uzimaji wa mitambo ya utangazaji ya analojia nchini kunawakosesha wananchi wengi wa kipato cha chini haki ya kikatiba ya kupata habari kupitia televisheni kwa kushindwa kumudu bei ya ving’amuzi, huku vituo vya televisheni vikikabiliwa na hatari ya kufungwa kutokana na kupungua kwa kasi ya matangazo ya biashara.

Mwenyekiti wa Chama cha Wamiliki wa Vyombo vya Habari Tanzania (MOAT), Dk. Reginald Mengi, alisema kuwa mfumo wa sasa wa digitali unaowalazimisha wananchi wote kupata matangazo ya televisheni kupitia ving’amuzi unawakosesha wengi matangazo hayo na matokeo yake, wamiliki wa vituo vya TV wanathirika kutokana na watangazaji kupunguza matangazo yao na hivyo kuvikosesha vituo hivyo fedha za kuendeshea shughuli zao kupitia matangazo ya kibiashara kama ilivyokuwa zamani.

Dk. Mengi ambaye alifuatana na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Sahara Media Group Ltd (Star TV), Samwel Nyalla na Mkurugenzi wa Mipango na Maendeleo wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba, alisema ana matumaini kuwa kilio chao kitasikilizwa mapema ili kuwawezesha wananchi wa kawaida kupata habari na vituo vya televisheni kupata matangazo ya biashara ya kutosha yatakayowapatia fedha za kugharimia uendeshaji.

“Wananchi wengi ni walalahoi ambao hawana uwezo wa kulipia ving’amuzi. Sisi kama wamiliki wa vituo vya TV tunapata hasara kwani hatuapati matangazo ya kutosha tunapotazamwa na watu wachache,” alisema.

Dk. Mengi ambaye pia ni Mwenyekiti Mtendaji wa IPP inayomiliki vituo vya tv vya ITV, EATV na Capital TV, aliongeza kuwa bado wanaendelea kufanya taratibu za kuisihi serikali itekeleze yale wanayoomba na kwamba wataendelea kufanya subira kwa miezi kati ya miwili hadi mitatu kuanzia sasa na wakiona kuwa bado serikali iko kimya, watakachokifanya ni kufunga vituo vyao vyote vya televisheni na kuendelea na biashara nyingine.


“Tumekuwa tukijadiliana na wahusika kwa njia zisizo rasmi, lakini bado tatizo lipo. Miezi miwili au mitatu ijayo hatutaona tv labda TBC (TV ya Taifa). Kama huo ndiyo ulikuwa mpango wa kuondoa tv, basi wamefanikiwa. Lakini naamini lengo lao lilikuwa kuboresha matangazo ya tv. Kwanini ifanywe haraka hivyo?” alihoji Dk. Mengi.

Alisema kuwa wadau wa tv walishirikishwa na TCRA katika hatua za kuhama kutoka analojia kwenda dijitali, lakini hawakuhusishwa katika kuamua muda na utaratibu wa uzimaji wa mitambo ya analojia.

“Hatua ya kuhama ina madhara makubwa sana. Kinachosikitisha zaidi, nchi tajiri hawakufanya haraka kuingia katika mfumo huu, USA (Marekani) walitumia miaka 14, UK (Uingereza) miaka 11, Hispania miaka 10 na Japan miaka minane. Sisi tumetumia muda mfupi sana,” alisema.

“Hakuna msaada wowote unaotoka serikalini kuwawezesha Watanzania wenye hali duni kiuchumi kumudu gharama za ving’amuzi. Huku ni kuwanyima haki ya kupata habari wananchi ambayo ni ya kikatiba kwani Ibara ya 18 ya katiba yetu inatamka wazi kuwa wananchi wana haki ya kupata habari.

“Mambo yanayofanywa nchini lazima yaangalie hali halisi ya maisha ya Watanzania. Watanzania wametumbukia kwenye giza; giza la kutopata habari. Ombi letu kwa serikali ni kurudisha mfumo wa analojia uende sambamba na mfumo wa digitali wakati watu wanajipanga vizuri zaidi.”

MTENDAJI MKUU SAHARA
Kwa upande wake Nyalla alisema kuwa wameshangaa kuona Tanzania inazima mitambo ya analojia huku hali ya uchumi wa wananchi wake ikiwa duni na kwamba baadhi ya vituo vya tv hasa vya mikoani vimefungwa kwa vile haviwezi kumudu uendeshaji wa mfumo mpya wa utangazaji wa digitali.

http://www.lyngsat-logo.com/hires/ss/star_tv_tz.png
Nyalla alisema kuwa kituo chake cha Stars TV, kimekumbwa na tatizo la kupungua kwa matangazo hali ambayo imeathiri shughuli za uendeshaji.

“Tumekimbilia kwenye digitali kwa faidi ipi hasa?” alihoji na kuongeza: “Tunajiuliza kwa nini hasa kuna kitu hiki. Hakuna ruzuku ambao sisi wamiliki wa vyombo wa habari binafsi tunaoupata kutoka serikalini kusaidia kuinua mipango ya vituo vyetu.”

Mkurugenzi huyo aliendelea kueleza kuwa idadi ya ving’amuzi ambavyo hadi sasa vimo nchini ni kati ya 500,000 na 600,000, idadi ambayo inamaanisha kwamba Watanzania wengi hawatazami tv kwani idadi ya Watanzania ni zaidi ya milioni 44 kwa mujibu wa Sensa ya mwaka jana.

MKURUGENZI CLOUDS
Naye Mutahaba alisema vituo vya tv nchini bado havijaandaliwa vyema kukabiliana na ushindani wa habari na tv za mataifa ya nje katika mfumo mpya wa utangazaji wa digitali.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgkD6cfzGoHyEAH1_fDX7qe_Pj5USq8nEWRaHcNKQcxjo70FZuEPYPaVXCP5YDeC9wCIhCyqZT2qLWNjV0Hnlu6dtTUrZWPbk-DBBeYR5ZwJAsU1e0-oufQCEqYmmapcJFTWX3XXcdK_emy/s400/clouds+tv+-.jpg
“Kutokana na hali halisi ya uendeshaji wa vyombo vyetu, bado hatuna uwezo wa kushindana na mataifa ya nje. Kulipia kodi ya matangazo ndani ya nchi yetu inakuwa vigumu,” alisema Ruge.

Kwa mujibu wa Ruge, gharama ya kupeleka matangazo ya tv kwa kila mkoa nchini ni Dola za Marekani 3,800 (Sh. milioni sita) kwa mwezi.

TCRA WANENA
Alipotafutwa na NIPASHE jana, Meneja wa Mawasiliano wa TCRA, Innocent Mungy, alisema kuwa maamuzi ya Tanzania kuingia kwenye mfumo wa utangazaji wa digitali ni makubaliano ya kimataifa huku akisisitiza kuwa kila nchi lazima iingie katika mfumo.

“Suala la digitali ni la kimataifa, kila nchi lazima itumie mfumo huo. Ombi la wamiliki wa vyombo vya habari kuhusu analojia siwezi kulizungumzia kwa sasa kwa sababu ni la kiserikali, halipo kwenye mamlaka hii. Nafikiri waulize Maelezo (Idara ya Habari), wao ndiwo watatoa tamko la serikali,” alisema Mungy.

Alipotafutwa na gazeti hili kuzungumzia suala hilo jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa Maelezo, Assah Mwambene, alisema kuwa maombi ya wamiliki wa vyombo vya habari (TV) hadi jana saa 12:25 jioni yalikuwa hayajawasilishwa rasmi kwenye ofisi yake.

“Hatujapokea barua rasmi ya maombi yao. Wakituandikia tutawajibu,” alisema Mwambene.
Serikali ililazimisha kuanza urushaji wa matangazo kupitia mfumo wa ving’amuzi kuanzia Januari Mosi, 2013 na kuzima kwa awamu matangazo yote ya televisheni kupitia njia iliyokuwa ikitumika awali ya analojia isiyohitaji ving’amuzi bali antena za kawaida.

CHADEMA YANG'AKA KUKAMATWA KWA LWAKATARE

 https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg_ypB-MrKIT50wqws3cj8VnsKthEu14SEYOwsrvGINt9qkpw1fZUf7Gv_ySF1vB2Q1wkeWfmo_2NOB_cWmtNT4AXKADxvgVs1WDAepUYsWcfwnfmELGRhTmxq33RrU5PkMOUWSDhze5gc/s1600/33.jpg
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetoa angalizo kwa Jeshi la Polisi nchini kwa kulitaka lisiingize ushabiki wa kisiasa wenye lengo la kukichafua katika uchunguzi dhidi ya Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa chama hicho, Wilfred Lwakatare. Hata hivyo, wakati Chadema wakitoa tamko hilo, Lwakatare aliyekamatwa tangu juzi bado anaendelea kushikiliwa na Jeshi la Polisi. Tamko hilo lilitolewa jana na Katibu Mkuu wa Chama hicho, Dk. Willibrod Slaa, wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuelezea mazingira ya kukamatwa kwa Lwakatare na maofisa wa Jeshi la Polisi kutoka makao makuu. “Chadema haitakubali kuona upelelezi wa suala la Lwakatare Jeshi la Polisi linaingiza ushabiki wa kisiasa, Chadema katika hatua ya awali tunafuatilia kwa karibu sakata lote la ukamataji wa Lwakatare na kuona sheria za nchi, taratibu na misingi ya haki za binadamu inafuatwa kikamilifu,” alisema Dk. Slaa, ambaye aliongozana na baadhi ya viongozi waandamizi wa chama hicho. Baadhi yao ni Makamu Mwenyekiti, Said Arfi; Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa;

 Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi; Mbunge wa Karatu, Mchungaji Israel Natse; Mbunge wa Rombo, Joseph Selasini, Mbunge wa Viti Maalum, Susan Lyimo, Mbunge wa Viti Maalum, Lucy Owenya na Mbunge wa Viti Maalum, Naomi Kaihula. Dk. Slaa alisema chama chake kina mashaka na upelelezi huo kuingiliwa na ushabiki wa kisiasa kwa sababu uzoefu unajionyesha kuwa Chadema kimekuwa kikitoa taarifa polisi kulalamikia mchezo mchafu unaofanywa na baadhi ya watu wanaoandika barua na nyaraka mbalimbali za kughushi zenye lengo la kukichafua. Alisema licha ya jitihada hizo zinazofanywa na Chadema kikiwa na matumaini kuwa vyombo vya ulinzi vitayafanyia kazi masuala hayo, lakini katika hali ya kushangaza yanapuuzwa bila kufanyiwa kazi, jambo linalotia mashaka uadilifu wa Jeshi la Polisi.
 https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgL_but0a1J_nMShqpionHKOD-Ivx8Bgt36NfUvew8hHAtGgD_zYlxkBKXga5MmZ2YACKQMcZ1RITB83bVjXBK7Exd_YMIe-7FyYtH5E-13mHL546F-KvC8DLriAoZE-VFB_mDlots9Wtvx/s1600/Lukanima+1.jpg

Alitoa mfano kuwa wakati wa uchaguzi mdogo wa ubunge Jimbo la Igunga, mkoani Tabora, kuna kijana anayedaiwa kuwa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) alipewa bunduki kwa lengo la kudhuru watu wakati wa kampeni, lakini licha ya Chadema kutoa taarifa na kutaja namba ya bastola husika na mahali ilipotengenezwa, mpaka sasa polisi hawajatoa tamko lolote kama ilisajiliwa kwa jina la nani na mtuhumiwa alijisalimisha kwa mlinzi wa amani. Alisema tukio jingine ambalo Chadema walilalamikia polisi ni suala la mtu mmoja kuandika barua ya kughushi ikidaiwa kuandikwa na Lwakatare akiomba Sh. milioni 200 kwa ajili ya vijana wanaodaiwa kuwapeleka Igunga kutoka Tarime kwa ajili ya uchaguzi. “Pamoja na matukio haya na mengine kuripotiwa, polisi hawajafanya upelelezi wowote, lakini kwa tukio tu la Lwakatare na picha yake kubandikwa kwenye mtandao,

polisi tayari wameshamkamata, ni dhahiri kuna mchezo unachezwa dhidi ya Chadema na polisi kuiingizwa kwa kujua au kutokujua katika mtego huo,” alisema Dk. Slaa. Alisema si nia ya Chadema kuingilia upelelezi wa polisi katika suala la Lwakatare, lakini ni imani ya chama hicho kwamba sheria na taratibu zinazozingatia katiba inayolinda haki za mtu zitafuatwa. Dk. Slaa alisema tukio la kukamatwa Lwakatare na kuhusishwa kupanga njama za kumdhuru mwandishi na picha kuwekwa kwenye mitando ya kijamii linaweza likawa limepangwa na vyombo vya usalama. Hata hivyo, Msemaji wa Jeshi la Polisi, Advera Senso licha ya kukataa kutoa ufafanuzi kuhusiana na maendeleo ya uchunguzi dhidi ya Lwakatare kwa siku ya jana, alisema vyombo vya usalama haviwezi kuhusika kupanga njama hizo. Juzi Jeshi la Polisi kupitia kwa Senso, lilisema limemkamata

Lwakatare ili kuchunguza taarifa zilizosambazwa dhidi yake kwenye mitandao zinazohatarisha uvunjifu wa amani nchini. Kwa upande wake Dk. Slaa, alisema juzi mchana maofisa watatu kutoka makao makuu ya polisi walifika katika makao makuu ya chama hicho wakimtafuta Lwakatare na kueleza kuwa wana shida ya kutaka kuonana naye na kwamba kwa kuwa alikuwa anawafahamu maofisa hao, aliwaruhusu kuonana naye. Baada ya dakika chache, maofisa hao walirudi tena kwa Dk. Slaa na kueleza kuwa wanaomba kuondoka na Lwakatare kwenda makao makuu ya jeshi hilo kwa ajili ya mahojiano.