Tuesday, May 07, 2013

HIKI NDICHO ALICHOKIANDIKA LADY JAY DEE KWENYE UKURASA WAKE WA FACEBOOK BAADA YA INTERVIEW YA RUGE

Sakata la Lady JayDee na wakurugenzi wa Clouds FM, Ruge Mutahaba na Joseph Kusaga, halionyeshi dalili za kupungua kasi muda wowote hivi karibuni. Baada ya Ruge kuzungumzia kwa kirefu drama hiyo kwenye interview.Jide ameendeleza harakati zake dhidi ya mapedejhee hao kupitia Twitter na Facebook, ambapo alianza kwa kuwapa washabiki wake teaser ifuatayo 

at Facebook: “Kama mtakumbuka niliahidi kutoa awamu ya pili tar 15 au 17 May na ahadi ni deni..Japo naona mbali ila Nitafanya hivyo, bado nina mengi sana ya kuzungumza kuhusu Ruge na wenzake…Ile ilikuwa ni trailer tu, Movie ndio linaanza sasa #TeamAnaconda no surrender”


 lady-jay-dee-ruge-mutahaba-clouds-fm-twitter-interview-0

No comments: