Friday, November 23, 2012

AY,MWANA FA NA J MARTINS WAFANYA COLLABO

AY,  mzee wa commercial ambaye pia ni mshindi wa tuzo za chanell O 2012 kupitia video yake ya  "i dont wanna be alone", FA na msanii maarufu kutoka Nigeria J Martins wanarecord wimbo wa pamoja huko South Africa. Jay Martins ambaye pia ni producer ameshafanya kazi nyingi na  wasanii kama p square na wengineo na amefanya nyimbo nyingi zilizofanya vizuri kwenye vituo mbalimbali Africa kama Fine fine love na zinginezo
 

No comments: