Tuesday, January 29, 2013

LULU APATA DHAMANA SASA AINGIA URAIANI

Ni baada ya kushikiliwa kwa muda mrefu baada ya kushitakiwa kwa kosa la kuua bila kukusudia .... muigizaji Elizabeth michael au kama ajulikanavyo na wengi kwa jina la LULU sasa yupo uraiani rasmi baada ya kupewa dhamana na mahakama ni baada ya kutimiza masharti yote ya dhamana


lulu akikumbatiana na mama yake huku wakilia kwa furaha dakika chche baada ya kupewa dhamana pembeni ni Dr.cheni

lulu akihojiwa na vyombo vya habari

 lulu akipanda kwenye gari tayari kuelekea nyumbani

;picha na Millard Ayo
 http://millardayo.com/