Wednesday, February 20, 2013

DIAMOND AKANUSHA KUMLOGA Q-CHIEF

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjExkSVqv1HdkOl0nBTMZWFQ1eJ4x2BLCwUpsCAkBYxUXgVxQmTYIwF47pxHsPH4yJ21UhJWIl-_AhHBbGsUJJeWKPkjtbWKV3R5loU38JkLd4FC4VIhKZHE8vRQoIvfnHFgXAY_QpRoJ0W/s1600/Q-Chief-aka-Q-Chilla.jpg.

Msanii Diamond platnumz amekana tuhuma zilizokuwa zimesambaa ,ya kuwa eti amemloga msanii mkongwe kwa game ya muziki wa bongo flava Q chillah.
hii imekuja baada ya kuwa na tuhuma zinazomuhusisha Diamond kumloga Q chief, DIAMOND amesema hausiki na kitu cha aina hiyo na hajwahi kufanya kitu kama hicho kwani hna muda huo.
 http://www.gushit.com/files/bookmark_photos/c0f168ce89L.jpg
Diamond amefunguka zaidi na kusema yeye anamkubali na kumuheshimu Q chief na ndio maan alipowahi kuulizwa msanii gani anaemkubali katika game ya bongo na aliyemfanya hadi akaingia kwenye muziki  akamtaja Q CHIEF
 http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2012/04/qchilla.jpg
 amesema anashangazwa na kitendo cha Q chillah kuanza kusema Diamond amemloga,,,!!! kwani yeye hana muda wa  kumloga mtu na yupo bize kufanya mambo yake ya maendeleo katika muziki na hausiki na suala hilo hata kidogo
hayo yamesemwa na DIAMOND PLATMUMZ
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgYaWFKSvBeXHkwN2Bwd3xxx2wdCUnChbX5x3kUsa7IE9enkiMCrtIEbfC3W2agB2GFVolz6OxeXpH-eu-GeDgyoBahn4t6ag7cDRO_2hHKanrrVh7XMqdMsF49zcVXJ8JCGxAHs2KYSfj9/s1600/d6.jpg

No comments: