msiba wake huo umefanyika kwa siri na baadhi ya watu walialikwa kwa mazishi hayo
na hizi ndo picha za mazishi ya GOLDIE HARVEY!!
PICHA ZA MAZISHI YA GOLDIE HARVEY

.

Andrew Harvey mume wa Goldie.

.

Dada wa Goldie akiwa na marafiki

.

.

Wa
pili kutoka kushoto ni mtangazaji wa Channel O Denrele Edun ambae
alikua rafiki mkubwa wa Goldie na ndioGoldie alifia mikononi mwake akiwa
amembeba, huu msiba ulihudhuriwa na watu wachache walioalikwa tu huko
Ikoyi Lagos Nigeria.

.

.

.

.

.

.

picture with millardayo.com/
No comments:
Post a Comment