Tuesday, February 19, 2013

ZANZIBAR KIMENUKA TENA!!!! KANISA LACHOMWA MOTO

http://i1.trekearth.com/photos/86613/zanzibar_08.jpg 
Kuna habari za kuaminika toka kisiwani Zanzibar kuhusiana na kumwomwa moto kwa Kanisa alfajiri ya leo. Inasemekana Kanisa moja linalojulikana kwa jina la  SHALOOM lililopo Kusini Unguja limechomwa moto leo asubuhi na watu wasiojulikana hali iliyosababisha baadhi ya viti vya kanisa hilo  kuungua. Inasemekana wasamaria wema waliwahi kufika eneo la tukio na  kufanikisha kuzima moto huo kabla ya kusababisha madhara zaidi. Habari za tukio hili zimethibitishwa na  Kamishna wa polisi mjini MUSA ALI MUSA

No comments: